Tuesday, December 18, 2012

Why women should wear cotton underwear!!!


Je, unajua kua kwa kuvaa chupi za cotton unapunguza miwasho, harufu  na discharge chafu kwenye "Vejaay jaay "yako?
 
Hii ni kwasababu chupi za cotton zinapunguza unyevu unyevu katika sehemu za siri na kufanya eneo hilo kupumua. Kwenda na fasheni muhimu ila cha muhimu zaidi ni mwanamke mrembo awe ana chupi zake kazaa za cotton maana zitamfanya awe comfortable na mwenye "Vejaay jaay" yenye afya hasa kipindi cha periods.

Kumbuka cotton underwears pia zinakuja na rangi tofauti, cut na fitting tofauti, na madoido mengi tu ambayo ukizivaa you’ll still feel and look sexy.
 
Kwa kitambua hili, Trudy’s Intimate Apparel inakuletea punguzo babukubwa kwa ajili ya msimu huu wa sikukuu….


 
Available at Trudy’s Intimate Apparel Shop – Mwenge at discounted prices…..


 
Wahi sasa upate za kwako at Trudy’s Intimate Apparel Shop – Mwenge at discounted prices…..



Wahi sasa upate za kwako at Trudy’s Intimate Apparel Shop – Mwenge at discounted prices…..
 

 

Discounts go as low as 2500 Tshs per pc [on selected items]

For more info and call 0653 005544 Now or visit our facebook page: www.facebook.com/TrudysIntimateApparel